Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu | TOWN NEWS TODAYS
google_ad_client = "8489252001790646"; google_ad_host = "8489252001790646"; google_ad_width =300; google_ad_height =600; google_ad_type = "text_image"; google_color_border = "FFFFFF"; google_color_bg = "ffffff"; google_color_link = "0000ff"; google_color_text = "000000"; google_color_url = "0088000"; google_page_url = "https://greeninvestmin.blogspot.com/"//-->
Breaking News
Loading...

Monday, July 3, 2017

Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu

Habari zenu, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya:

  • Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo,
  • kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
  • Kusahausahau,
  • Kupendelea story za mapenzi,
  • Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
  • Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu),
  • Kuumwa na kichwa,
  • Kukakamaa mgongo (wanaume),
  • Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
  • Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),
  • Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
  • Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala

google+

linkedin

About Author
  • Donec sed odio dui. Duis mollis, est non commodo luctus, nisi erat porttitor ligula, eget lacinia odio sem nec elit. Sed posuere consecteturDonec sed odio dui. Duis mollis, est non commodo luctus, nisi erat porttitor ligula, eget lacinia odio sem nec elit. Read More

     

    Gallery

    About Us